Baadhi ya Mapadre wakiwa katika ibada maalum ya maadhimisho ya 24 ya kuwaombea wagonjwa duniani ambayo kitaifa yamefanyika leo mkoani humo, katika wilaya hiyo.
Naibu Askofu wa Jimbo Kuu la Kanisa la Katoliki la Tabora,
Faustine Rwechungura .akiwaombea wagonjwa katika hospitali ya Ndala, Nzega
Tabora kwenye wodi ya wazazi. (Picha na Magreth Kinabo-MAELEZO)
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila akitoa zawadi kwa mgonjwa aliyelazwa katika Hospitali ya Ndala, wilayani Nzega mkoani Tabora mara kushiriki ibada maalum maadhimisho ya 24 ya kuwaombea wagonjwa duniani ambayo kitaifa yamefanyika leo mkoani humo, katika wilaya hiyo.
Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila akitoa zawadi kwa mgonjwa aliyelazwa katika Hospitali ya Ndala, wilayani Nzega mkoani Tabora mara kushiriki ibada maalum maadhimisho ya 24 ya kuwaombea wagonjwa duniani ambayo kitaifa yamefanyika leo mkoani humo, katika wilaya hiyo.







No comments:
Post a Comment