Klabu ya soka ya Chelsea jumatano imetoshana nguvu na Watford kufuatia sare ya kutofungana, huku Everton wao wakifanikiwa kuchomoza na ushindi mnono wa bao 3-0 dhidi ya Newcastle ikiwa ni mwencelezo wa Ligi kuu ya England.
Na Timu ya soka ya Barcelona usiku wa jana ilishusha gharika ya magoli baada ya kuichapa Valencia bao 7-0, katika mwendelezo wa michuano ya kombe la mfalme.
Magoli ya Barcelona yamefungwa na wachezaji Luis Suárez bao (4) na Lionel Messi bao (3).
No comments:
Post a Comment