TANGAZO


Thursday, February 4, 2016

Chelsea,Watford zashindwa kufungana

Image copyrightEPA
Image captionChelsea na Watford zatoshana nguvu
Klabu ya soka ya Chelsea jumatano imetoshana nguvu na Watford kufuatia sare ya kutofungana, huku Everton wao wakifanikiwa kuchomoza na ushindi mnono wa bao 3-0 dhidi ya Newcastle ikiwa ni mwencelezo wa Ligi kuu ya England.
Na Timu ya soka ya Barcelona usiku wa jana ilishusha gharika ya magoli baada ya kuichapa Valencia bao 7-0, katika mwendelezo wa michuano ya kombe la mfalme.
Magoli ya Barcelona yamefungwa na wachezaji Luis Suárez bao (4) na Lionel Messi bao (3).

No comments:

Post a Comment