TANGAZO


Wednesday, January 6, 2016

Waziri Nape Nnauye akutana na Balozi wa Norway nchini Tanzania Hanne-Marie Kaarstad

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye (kushoto) akiongea na Balozi wa Norway nchini Tanzania Hanne-Marie Kaarstad wakati wa Kikao kilichofanyika Ofisini kwa Waziri,katika kikao hicho Norway iliahidi kuendelea kudumisha ushirikiano na Tanzania katika sekta ya utamaduni, Sanaa na Michezo.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM). 
Mmoja wa Maofisa kutoka Ubalozi wa Norway nchini Tanzania (kushoto) akiongea na  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye wakati wawa Kikao kilichofanyika Ofisini kwa Waziri,katika kikao hicho Norway iliahidi kuendelea kudumisha ushirikiano na Tanzania katika sekta ya utamaduni, Sanaa na Michezo. 
Balozi wa Norway nchini Tanzania Hanne-Marie Kaarstad kulia akiongea na  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Nape Nnauye (kushoto) wakati wa Kikao kilichofanyika Ofisini kwa Waziri,katika kikao hicho Norway iliahidi kuendelea kudumisha ushirikiano na Tanzania katika sekta ya utamaduni, Sanaa na Michezo. 

No comments:

Post a Comment