Sehemu ya umati wa watu uliohudhuria katika mkutano ambapo Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alihutubia na kufungua Jengo la Kitega Uchumi la CCM katika Kijiji cha Buhongwa, Jimbo la Nyamagana, jijini Mwanza.
Wanachama wa Vicoba, Bodaboda, Machinga na Mama Lishe wakimsikiliza kwa makini Komredi Kinana alipokuwa akizungumza nao kuhusu changamoto zinazowakabili, ambapo aliwaahidi kuwafanyia mipango ya kupata mikopo yenye riba nafuu katika Benki ya CRDB na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

No comments:
Post a Comment