TANGAZO


Sunday, June 14, 2015

Waislamu Uingereza watakiwa kufungua mapema


Wito wake hata hivyo unapingwa na baadhi ya waislamu ambao wanasema kuwa ni sharti maadili na mafundisho ya dini yaheshimiwe.

Kiongozi wa kidini anayehusishwa na wakfu wa kiislamu nchini Uingereza anasema kuwa waislamu nchini humo wanapaswa kupunguza muda wanaofunga kula na kunywa wakati wa ramadhan kwani muda wao unazidi saa 19.

Waislamu wakiomba

Dakta Usama Hasan ambaye ni msomi katika shirika moja linalowashughulikia waislamu Quilliam anasema japo mafundisho ya dini yanamtaka muumini wa dini hiyo kufunga kula na kunywa kuanzia asubuhi hadi jua linapotua waislamu nchini Uingereza hulazimika kufunga kwa zaidi ya saa 19.

Waislamu Uingereza watakiwa kufungua mapema

Wito wake hata hivyo unapingwa na baadhi ya waislamu ambao wanasema kuwa ni sharti maadili na mafundisho ya dini yaheshimiwe.

Waislamu wanahitajika kususia kula kuanzia alfajiri hadi jua linapotua

Ratiba ya kufunga wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadan inatarajiwa kutolewa wakati wowote tayari kwa waislmu kutekeleza nguzo hiyo muhimu ya dini hiyo.

No comments:

Post a Comment