TANGAZO


Tuesday, December 2, 2014

Uhuru Marathon yadhaminiwa na StarTimes

Mratibu wa Uhurumarathon Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam leo, wakati akielezea juu ya udhamini wa Kampuni ya startimes kudhamini kwa kutoa matangazo na vifaa vyenye zaidi ya shilingi milioni nne na laki tano. Kushoto kwake ni Meneja Huduma kwa Wateja wa Startimes, Jackson Ngowi. (Picha zote na Mpigapicha wetu)
Mratibu wa Uhurumarathon Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam leo, kuhusu udhamini wa Kampuni ya Startimes kutoa matangazo na vifaa vyenye zaidi ya shilingi milioni nne na laki tano. Kushoto kwake ni Meneja Huduma kwa Wateja wa Startimes, Jackson Ngowi.
Mratibu wa Uhurumarathon Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari katika hafla ya kutangaza udhamini wa Kampuni ya Startimes jijini leo.
Mratibu wa Uhurumarathon Innocent Melleck akizungumza na waandishi wa habari katika hafla hiyo, jijini Dar Es Salaam leo. Kushoto kwake ni Meneja Huduma kwa Wateja wa Startimes, Jackson Ngowi.

No comments:

Post a Comment