TANGAZO


Monday, September 29, 2014

Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana Mlalo mkoani Tanga

 Katibu Mkuu wa CCM , Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Sunga, Jimbo la Mlalo wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
 Katibu Itikadi na Uenezi wa CCM , Nape Nnauye akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Sunga, Jimbo la Mlalo wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Kinana akijenga, alipowasili kushiriki ujenzi wa maabara katika Shule ya Msingi Mtumbi, Jimbo la Mlalo.
 Kinana akisalimiana na wananchi alipowasili kushiriki ujenzi wa maabara katika Shule ya Msingi Mtumbi, Jimbo la Mlalo
 Kinana akiwa eneo la ujenzi wa maabara katika Shule ya Sekondari Mtumbi, Jimbo la Mlalo Lushoto
Kinana akishiriki kukwangua eneo la ujenzi wa chumba cha maabara katika Shuleya Sekondari Mtumbi wilayani Lushoto
 Kinana aakisukuma toroli lililobeba udongo uliotolewa eneo patakapojengwa maabara katika Shule ya Sekondari Mtumbi, Jimbo la Mlalo, Lushoto mkoani Tanga.
 Kinana akizidi kusukuma toroli lenye udongo uliotolewa eneo patakapojengwa chumba kingine cha maabara katika Shule ya Sekondari, Jimbo la Mlalo wilayani Lushoto
 Kinana akimwaga udongo huo
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akimwaga naye udongo
Mchumi wa CCM Mkoa wa Tanga, Steven Ngonyani maarufu kwa jina  la Profesa Maji Marefu,akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Sunga.
 Nape akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Sunga
 Kinana akihutubia wananchi.
Sehemu ya umati uliohudhuria katika mkutano wa hadhara Kata ya Sunga, mkoani Mbeya.
Mmoja wa wazee wa Kijiji cha Sunga akisikiliza kwa makini wakati Kinana a akihutubia katika mkutano huo.

No comments:

Post a Comment