Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara, mjini Mopmbo, Korogwe Vijijini
 |
Katibu Mkuu
akipiga makofi baada ya kuweka jiwe la Msingi katika jengo la CCM Kata
ya Masewa, Korogwe Vijijini, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama
na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya chama hicho. |
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na Mbunge wa Jimbo la
Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani wakishiriki ujenzi wa jengo hilo la
CCM Kata Mashewa, Jimbo la Korogwe Vijijini.
 |
Kinana akishiriki katika ujenzi wa jengo la Maabara katika Shule ya Sekondari ya Mashewa, Korogwe Vijijini. |
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani maarufu wa jina la
Profesa Maji Marefu akimueleza Kinana kuhusu matatizo ya kutokwepo
minara ya mawasiliano katika baadhi ya vijiji jimboni humo.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akishiriki ujenzi wa
jengo la maabara katika Shule ya Sekondari ya Buna,Korogwe Vijijini
Kinana akishiriki ujenzi wa jengo la maabara katika Shule ya Sekondari ya Buna,Korogwe Vijijini
 |
Katibu Mkuu wa
CCM, Abdulrahman Kinana akishona upindo wa khanga katika Kituo cha
Ushonaji cha Wajasiriamali mjini Mombo, katika Jimbo la Korogwe
Vijijini, Mkoa wa Pwani jana, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa
chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM pamoja na
kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. Kulia ni Mkufunzi
wa chuo hicho, Veronica Simba pamoja na wanafunzi wa chuo hicho. |
 |
Kinana na viongozi wengine wa CCM wakipita katika moja ya mitaa ya Mji wa Mombo, Korogwe Vijijini. |
Vijana wa CCM wakishangilia wakati Kinana akiingia kwenye mkutano wa hadhara mjini Mombo, Korogwe Vijijini.
Kinana akiwasalimia wananchi katika mkutano huo.
 |
Kikundi cha sanaa kikitumbuiza wakati wa mkutano huo wa hadhara. |
Msanii akisikiliza kwa makini wakati wa mkutano huo.
Kinana akiagana na wananchi baada ya kumalizika kwa mkutano huo.
 |
Kinana akiagana na kiongozi wa jamii ya kimasai baada ya kumalizika mkutano huo. |
Kinana akishukuru baada ya kukabidhiwa zawadi na jamii ya kimasai katika mkutano huo.
No comments:
Post a Comment