Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Maji wa Mji Mdogo wa Kibaigwa wilayani Kongwa ikiwa ni Moja ya Shuguli za wiki ya Maji Machi 17, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Mradi wa Maji wa Mji Mdogo wa Kibaigwa wilayani Kongwa ikiwa ni moja ya shughuli za Wiki ya Maji nchini Machi 17, 2014. Kulia kwake ni Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mradi wa Maji wa Mji Mdogo wa Kibaigwa wilayani Kongwa ikiwa ni Moja ya Shuguli za wiki ya Maji Machi 17, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua Mradi wa Maji wa Mji Mdogo wa Kibaigwa wilayani Kongwa ikiwa ni moja ya shughuli za Wiki ya Maji nchini Machi 17, 2014. Kulia kwake ni Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe.
No comments:
Post a Comment