TANGAZO


Friday, January 31, 2014

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk. Asha-Rise Migiro aitembelea Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania


Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Asha Rose Migiro akipokea Ripoti zilizofanyiwa kazi na Tume kutoka kwa Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Korosso. (Picha zote na Munir Shemweta Ofisa Habari wa Tume)
akipokea maua 
Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Asha Rose Migiro (kushoto) akipokea maua kutoka kwa Afisa Tawala wa Tume, Bi. Suzan.
akisalimia watumishi
Asha rose akiongea
Mh. Migiro akisalimiana na Mwandishi Mkuu wa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Bi. Caritas Mushi 
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Asha Rose Migiro akizungumza wakati wa kikao chake na uongozi wa Tume hiyo.
Baadhi ya Watumishi
KM akiongea
CM akiongeaMwenyekiti wa Tume Mhe.Jaji Aloysius Mujulizi akizungumza wakati Waziri wa Katiba na Sheria  Mhe Asha Rose alipoitembelea Tume.
CM akimpokea MigiroMwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanazania Mh. Jaji Aloysius Mujulizi akimpokea Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Asha Rose Migiro alipotembelea ofisi za Tume hiyo,
sehemu watumishi 
Makamishna
Kikao cha pamoja baina ya Mhe Waziri wa Katiba na Sheria na Uongozi wa Tume hiyo.  hiyo leo. Washiriki wa Kikao.  
wakiwa kikao 
Sehemu ya Watumishi na ugeni wa Mhe. Waziri wa Katiba na Sheria wakiwa katika kikao cha pamoja. Katibu Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Korosso akiwasilisha taarifa fupi ya Tume kwa  Waziri wa Katiba na Sheria  Mhe. Asha Rose Migiro.

No comments:

Post a Comment