TANGAZO


Tuesday, December 31, 2013

Katibu Mkuu Wizara ya Habari atembelea Shirika la Utangazaji Tanzania

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana (kulia) akimkaribisha Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akisaini kitabu cha wageni wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam,waliokaa kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw.Assah Mwambene na Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana.
Fundi wa zamu katika chumba cha kurushia matangazo Bi. Rehema Lugosi akitoa maelekezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga ya jinsi wanavyofanya kazi katika eneo hilo, wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo, jijini Dar es Salaam.
Mhandisi Richard Mgema akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga ya jinsi mitambo hiyo inavyofanya kazi na kuwezesha urushwaji wa matangazo, wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Bw. Clement Mshana akimuonesha Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga Kifaa cha kusomea habari (teleprompter), Mwenye suti nyeusi ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene, wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga(aliyekaa) katika studio ya TBC Taifa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akipanda mti wa kivuli, wakati wa ziara ya kutembelea shirika hilo leo, jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Star Media Bw. Jack Zhou akimpa zawadi Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga, wakati alipotembelea Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) leo, jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiongea na wajumbe waliohudhuria ziara hiyo leo na kuwataka kuendelea kusimamia na kuboresha utendaji kazi wa shirika hilo.
Wajumbe waliohudhuria ziara hiyo wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga.
Mkurugenzi wa Rasilimali watu na Uendeshaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bi. Joyceline Lugora akitoa shukrani kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga kwa kutembelea shirika hilo na kujionea mambo mbalimbali yanayofanywa na Shirika. (Picha zote na Hassan Silayo - MAELEZO)

1 comment:

  1. đồng tâm
    game mu
    cho thuê nhà trọ
    cho thuê phòng trọ
    nhac san cuc manh
    số điện thoại tư vấn pháp luật miễn phí
    văn phòng luật
    tổng đài tư vấn pháp luật
    dịch vụ thành lập công ty trọn gói

    Lúc này mũi kiếm đã sắp bay đi. Nếu để nó bay đi mất thì chỉ sợ đời này kiếp này của Sở Dương cũng không có mấy khả năng tìm lại được nữa rồi!

    Đúng lúc này, trong đan điền đột nhiên tràn ra một hồi cảm xúc giận dữ, Cửu Kiếp kiếm hồn như thiểm điện vọt ra, thoát khỏi đan điền xông vào kinh mạch, chỉ một cái chớp mắt đã vọt tới chỗ bàn tay Sở Dương!

    Ngay sau đó thì một cổ lực lượng kỳ lạ từ trong lòng bàn tay Sở Dương chợt tiến nhập vào trong mũi kiếm của Cửu Kiếp kiếm! Mũi kiếm vốn đang ra sức giãy dụa muốn bay đi thì sau khi tiếp xúc phải cổ lực lượng này bỗng đột nhiên trở nên ngoan ngoãn!

    Hàn khí trên người Sở Dương đột nhiên biến mất, sức nóng ở mũi kiếm cũng trong nháy mắt hoàn toàn mất hút… Rồi mũi kiếm của Cửu Kiếp kiếm trong tay hắn bỗng nở rộ một tầng ánh sáng rực rỡ, một cổ huyết sắc quang mang bay thẳng lên, vụt lóa rồi xoát một tiếng biến mất. Sau đó thì Sở Dương bắt đầu cảm thấy mũi kiếm từ từ yên tĩnh dần.

    Sau một khắc, chuyện càng kỳ quái hơn xuất hiện!

    Mũi kiếm đang lập lòe ánh sáng bỗng quỷ dị biến mất tăm hơi ngay trong tay Sở Dương!

    Mà trong đan điền hắn lúc này thì thanh Cửu Kiếp kiếm hư ảo kia bỗng hưng phấn run lên một chút rồi chỗ mũi kiếm đột nhiên ngưng tụ thành thực chất!

    ReplyDelete