Watu
waliohudhuria mahakamani hapo wakifuatilia kesi hiyo.
Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na
Mwanawe Johnson Nguza au Papii wakiwa katika chumba cha Mahakama ya Rufaa
Tanzania kabla ya kuanza kwa kusikilizwa kwa rufaa yao, ya kuitaka Mahakama hiyo
kupitia upya hukumu iliyotolewa Februari 10-2010 na mahakama hiyo.
Wakiwa mahakamani leo.
Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson
Nguza wakiteta jambo na wakili wao, Mabere Marando.
Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na
Mwanawe Johnson Nguza 'Papii' wakiwa na nyuso za furaha wakati wakitoka katika
Mahakama ya Rufaa baada ya majaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania kusikiliza
maombi yao ya kuitaka mahakama hiyo, kupitia hukumu iliyoitoa mwaka
2010.
Nyuso za
matumaini.......
Johnson Nguza 'Papii' akibusu
mkono wake baada ya kuibusu ardhi mara baada ya kutoka mahakamani hapo.
Papii akinyoosha
mkono juu kama ishara ya kumshukuru mungu.
Waandishi wa
habari wakiwa chini wakati wa harakani za kuchukua matukio mahakamani
hapo.
Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na
Mwanawe Johnson Nguza wakati wakitoka
mahakamani.

No comments:
Post a Comment