TANGAZO


Friday, August 2, 2013

Rais wa Zanzibar, Dk. Shein aweka jiwe la msingi Madrasatul Tarblat Islamia, Kidoti Unguja Kaskazini

 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kama isahara ya kuweka jiwe la Msingi madrasatul Tarblat Islamia iliyopo Kidoti  Jimbo la Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo. (Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu)
Baadhi ya  Wanafunzi wa  madrasatul Tarblat Islamia, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, alipozungumza nao baada ya 
kuwawekea jiwe la msingi madrsa yao leo huko  Kidoti  Jimbo la Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja leo.
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, alipokuwa akizungumza na Wananchi na wanafunzi wa madrasatul Tarblat Islamia, ya Kidoti Jimbo la Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja, baada ya kuwawekea jiwe la msingi madrasa hiyo leo.

No comments:

Post a Comment