Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda na msaidizi wake, Saleh Mukadam, wakiongozwa na askari Magereza kuelekea kwenye gari la mahabusu kurejeshwa Mahabusu ya Segerea kusubiri kuendelea na kesi yao, ambayo itatajwa tena Mei 2 na kisha hukumu yake kutolewa Mei 9 mwaka huu, mahakamani hapo.
Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda na msaidizi wake, Saleh Mukadam, wakiongozwa na askari Magereza kuelekea kwenye gari kwa ajili ya kurejeshwa Mahabusu ya Segerea kusubiri kuendelea na kesi yao, ambayo itatajwa tena Mei 2 na kisha hukumu yake kutolewa Mei 9, mwaka huu, mahakamani hapo.
Askari Polisi wa Kikosi cha Mbwa na Farasi wakiwa tayari kwa ajili ya kupambana na jambo lolote ambalo lingelitokea mahakamani hapo leo.
Askari Polisi wa Kikosi cha Farasi wakiwa wamefunga barabara ya UWT, huku wakiwa wamejiweka tayari kupambana na jambo lolote ambalo lingelitokea mahakamani hapo leo.
Askari Polisi wa Kikosi cha Mbwa na askari kanzu, wakiwa wamejiweka tayari kupambana na jambo lolote ambalo lingelitokea mahakamani hapo leo.
Baadhi ya kundi la Waislamu waliokuwepo mahakamani hapo kusubiri kutolewa huku ya kesi hiyo, wakiwa nje ya Mahakama hiyo, kusubiri kinachoendelea.
Gari la Kikosi cha askari wa Kutuliza Ghasia (FFU), wakiongoza msafara wa washitakiwa Sheikh Issa Ponda na Saleh Mukadam, kurejeshwa mahabusu ya Segerea baada ya kuaghirishwa kutolewa kwa hukumu ya kesi yao hiyo leo.
Baadhi ya kundi la Waislamu waliokuwepo mahakamani hapo kusubiri kutolewa huku ya kesi hiyo, wakishangilia baada ya kuona magari yaliyowabeba washitakiwa hao, yakiondoak kwa mwendo wa kasi kuelekea Mahabusu ya Segerea jijini Dar es Salaam leo.
Kundi la Waislamu waliokuwepo mahakamani hapo kusubiri kutolewa huku ya kesi hiyo, wakishangilia gari lililowabeba washitakiwa hao, wakati likipita mbele yao kwa mwendo wa kasi kuelekea Mahabusu ya Segerea jijini Dar es Salaam leo.
Kundi la Waislamu waliokuwepo mahakamani hapo kusubiri kutolewa huku ya kesi hiyo, wakishangilia kwa kusema Takbir, gari lililowabeba askari Magereza waliokuwa wakiwasindikiza washitakiwa hao, wakati likipita mbele yao kwa mwendo wa kasi kuelekea Mahabusu ya Segerea jijini Dar es Salaam leo.
Kundi la Waislamu waliokuwepo mahakamani hapo kusubiri kutolewa huku ya kesi hiyo, wakishangilia kwa kusema Takbir, gari lililowabeba askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU), waliokuwa wakiwasindikiza washitakiwa hao, wakati likipita mbele yao kwa mwendo wa kasi kuelekea Mahabusu ya Segerea jijini Dar es Salaam leo.
Kundi la Waislamu waliokuwepo mahakamani hapo kusubiri kutolewa huku ya kesi hiyo, wakishangilia kwa kusema Takbir, gari la maji ya kuwasha, lililokuwa likiwasindikiza washitakiwa hao, wakati likipita mbele yao kwa mwendo wa kasi kuelekea Mahabusu ya Segerea jijini Dar es Salaam leo.
















No comments:
Post a Comment