Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Ujumbe kutoka Ras Al Khaimah, ukiongozwa na Bw. Salem Ali Sharhan (wa pili kulia), akiwa ni Mshauri wa Mtawala wa Ras Al Khaimah. Ujumbe huo wa watu wanne ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais leo.
No comments:
Post a Comment