TANGAZO


Tuesday, November 6, 2012

Makamu wa Rais Dk. Bilal afungua Mkutano wa 8 wa Kimataifa wa Bima, jijini Dar es Salaam

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akifurahia ngoma ya asili wakati akiwasili kwenye ukumbi wa Blue Peal, Ubungo Plaza, jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya kufungua mkutano wa 8 wa Kimataifa wa Bima, ulioanza leo Novemba 6, 2012, ukitarajia kumalizika Novemba 8, mwaka huu. (Picha zote na OMR)

Baadhi ya washiriki wa Mkutano huo wa Kimataifa wa Bima, kutoka mataifa mbalimbali wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, wakati akihutubia katika ufunguzi ukumbi wa Blue Peal leo Novemba 6, 2012.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia, wakati akifungua mkutano wa 8 wa Kimataifa wa Bima, ulioanza leo Novemba 6, 2012 katika ukumbi wa Blue Peal, jijini Dar es Salaam. Mkutano huo unatarajia kumalizika Novemba 8 mwaka huu.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia, wakati akifungua mkutano wa 8 wa Kimataifa wa Bima, ulioanza leo Novemba 6, 2012 katika ukumbi wa Blue Peal, jijini Dar es Salaam. Mkutano huo unatarajia kumalizika Novemba 8 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment