TANGAZO


Sunday, October 21, 2012

CHADEMA wazungumzia vurugu za Dar es Salaam na Zanzibar

 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mabere Marando akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya chama hicho, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu matukio makubwa yaliyotokea nchini Tanzania, yakiwemo yale ya kuchomwa kwa makanisa, maandamano ya wafuasi wa dini ya Kiislamu pamoja na tukio la kutoweka kwa Sheikh Farid wa Zanzibar ambaye kwa sasa amepatikana akiwa hai.
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Profesa Abdallah Safari akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya chama hicho, jijini Dar es Salaam jana kuhusu kadhia hiyo.
 
Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali, wakiwa katika mkutano huo, wakifuatilia habari hizo jana. (Picha zote na Francis Dande)

No comments:

Post a Comment