Pages

Monday, September 24, 2012

Mchuano wa Man City, Arsenal katika picha, zatoka sare 1-1


 Yaya Toure wa Man City akimchezea rafu Mikel Arteta wa Arsenal wakati wa pambano lao la Ligi Kuu kwenye Uwanja wa Etihad jijini Manchester, lililoisha kwa sare ya 1-1
 Lescott (nyuma ya Poldoski 9) akifunga bao la uongozi la Man City, lililokuja kusawazishwa na kumaliza mechi kwa sare
Lescott (6) akishangilia bao lake sambamba na wachezaji wa Man City.
Carl Jenknson kushoto wa Arsenal akichuana na Scott Sinclair wa Man City

No comments:

Post a Comment