Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ambaye pia ni Mkaguzi wa Hesabu za Umoja wa Mataifa (UN), Ludovick Utouh akiongea na waandishi wa habari kuhusu Taasisi 10 za UN, ambazo zitafanyiwa ukaguzi chini ya usimamizi wake ambapo watumishi 60, kutoka ofisini kwake watafanya kazi hiyo. Kwa kipindi cha miaka sita nchi za Tanzania, China na Uingereza zimepewa jukumu la ukaguzi wa hesabu za UN.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG), ambaye pia ni Mkaguzi wa Hesabu za Umoja wa Mataifa (UN), Ludovick Utouh akifafanua jambo wakati alipokuwa akiongea na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu Taasisi 10 za UN, ambazo zitafanyiwa ukaguzi chini ya usimamizi wake ambapo watumishi 60 kutoka ofisini kwake watafanya kazi hiyo.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG), ambaye pia ni Mkaguzi wa hesabu za Umoja wa Mataifa (UN), Ludovick Utouh akisisitiza jambo wakati alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu Taasisi 10 za UN ambazo zitafanyiwa ukaguzi chini ya usimamizi wake. (Picha zote na Anna Nkinda – Maelezo)
No comments:
Post a Comment