TANGAZO


Sunday, June 17, 2012

Wanafunzi waandamana mjini Khartoum

Polisi wa kupambana na fujo mjini Khartoum, Sudan, wametumia moshi wa kutoza machozi na virungu kuzima maandamano ya wanafunzi wanaopinga kupanda kwa gharama za maisha.
Rais bashir wa Sudan
Mamia ya waandamanaji waliokusanyika katika Chuo Kikuu cha Khartoum, walifukuzwa na polisi.
Piya kuna ripoti kuwa maandamano yamefanywa katika miji mingine kama miwili.
Uchumi wa Sudan umezorota tangu Sudan Kusini yenye utajiri wa mafuta, ilipojitenga na kaskazini mwezi Julai mwaka jana.

No comments:

Post a Comment