Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hadji Mponda (kulia), akimkabidhi funguo ya gari la huduma ya mkoba (mobile clinics), Dk. Noah Chihoma kutoka Hopitali ya Chuo Kikuu cha Dodoma katika makabidhiano yaliyofanyika wizarani hapo leo Machi Mosi 2012. (Picha na Magreth Kinabo – Maelezo)

Moja ya magari yaliyokabidhiwa, likiendeshwa na
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Hadji Mponda, likipita mbele ya waandishi wa habari na wafanyakazi wa Wizara hiyo.
Meneja Mkuu kutoka kampuni ya Ship Building & Repair, Darryl Lain, akitoa maelekezo kwa baadhi ya wawakilishi wa hospitali zilizopewa magari hayo, jinsi ya kuyatumia magari ya huduma ya mkoba (mobile clinics)
No comments:
Post a Comment