TANGAZO


Monday, December 7, 2015

Man Utd kukabiliana na Wolfsburg UEFA

Wolfsburg


Image copyrightPA
Image captionManchester United watakutana na klabu ya Wolfsburg kutoka Ujerumani

Michuano ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) inatarajiwa kuendelea kesho Jumanne Desemba 8 kwa michezo kadhaa katika hatua ya makundi.
Real Madrid itakuwa ikichuana dhidi ya Malmo, Paris Saint-Germain watawakabili Shakhtar Donetsk zikiwa ni mechi za kundi A.
KUNDI: B:
PSV Eindhoven Wao watapepetana na CSKA Moskva, Wolfsburg watakuwa wakimenyana na Manchester United .
KUNDI: C:
Benfica watawakabili Atlético Madrid, na Galatasaray ya Uturuki itachuana na Astana
KUNDI: D:
Manchester City Watawakabili Borussia Mönchengladbach, huku Sevilla wao wakichuana na vijukuu vya bibi kizee vya Turin Klabu ya Juventus .
Na Desemba 9 kutapigwa mechi kadhaa katika mwendelezo wa michuano hiyo.

No comments:

Post a Comment