TANGAZO


Thursday, January 15, 2015

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), yakutana na Uongozi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) jijini Dar es Salaam leo

Msaidizi wa Mdibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali Nestory Karia akiwaelekeza jambo wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) ilipokutana na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) kujadili taarifa ya Ukaguzi Maalum uliofanywa na CAG kuhusu hoja mbalimbali katika Hesabu za Mamlaka hiyo kwa mwaka 2011/2012. 

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Deo Filikunjombe akisisitiza jambo wakati kamati yake ilipokutana na Mamlaka ya Bandari (TPA) kujadili taarifa ya Ukaguzi Maalum uliofanywa na CAG kuhusu hoja mbalimbali katika Hesabu za Mamlaka hiyo kwa mwaka 2011/2012. Kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Zitto Kabwe na kushoto kwake ni Mjumbe wa Kamati hiyo Ismail Rage. 
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Deo Filikunjombe akisisitiza jambo wakati kamati yake ilipokutana na Mamlaka ya Bandari (TPA) kujadili taarifa ya Ukaguzi Maalum uliofanywa na CAG kuhusu hoja mbalimbali zilizojitokeza katika Hesabu za Mamlaka hiyo kwa mwaka 2011/2012. 
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Madeni Kipande akijibu baadhi ya hoja zilizokuwa zikiibuliwa na wabunge wakati wa kikao cha kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mamlaka hiyo kujadili taarifa ya Ukaguzi Maalum uliofanywa na CAG kuhusu hoja mbalimbali zilizojitokeza katika Hesabu za Mamlaka hiyo kwa mwaka 2011/2012. 
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Madeni Kipande akijibu baadhi ya hoja zilizokuwa zikiibuliwa na wabunge wakati wa kikao cha kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mamlaka hiyo kujadili taarifa ya Ukaguzi Maalum uliofanywa na CAG kuhusu hoja mbalimbali zilizojitokeza katika Hesabu za Mamlaka hiyo kwa mwaka 2011/2012. 
Mkurugenzi wa Teknolojia na Mawasiliano wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Phares Magessa akijibu hoja zilizokuwa zikiibuliwa na Wabunge kuhudhu udhaifu wa mifumo ya TEHAMA Bandarini wakati wa kikao cha kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mamlaka hiyo kujadili taarifa ya Ukaguzi Maalum uliofanywa na CAG kuhusu hoja mbalimbali zilizojitokeza katika Hesabu za Mamlaka hiyo kwa mwaka 2011/2012. 
Mjumbe wa Kamati ya PAC Mhe. Hadji Mponda akiuuliza jambo kwa uongozi wa Mamlaka ya bandari wakati wa kikao cha kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mamlaka hiyo kujadili taarifa ya Ukaguzi Maalum uliofanywa na CAG kuhusu hoja mbalimbali zilizojitokeza katika Hesabu za Mamlaka hiyo kwa mwaka 2011/2012. 

No comments:

Post a Comment