Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigella
akizungumza katika baraza hilo. Kushoto ni Waziri wa nchi Oisi ya
Makamu wa Rais Mazingira January Makamba kulia ni Mkuu wa wilaya ya
Tanga,Thobias Mwilapwa.
|
Mkuu wa wilaya ya
Tanga,Thobias
Mwilapwa akilakiwa na waumini wa dini ya kiislamu wakati akipokwenda
kwenye baraza la Eid ambalo lilifanyika katika Shule ya Sekondari
Jumuiya.
Waziri wa nchi Ofisi ya
Makamu wa Rais Mazingira January Makamba akilakiwa na waumini wa dini
hiyo wakati alipokwenda kwenye Baraza la Iddi ambalo lilifanyika katika
shule ya sekondari Jumuiya.
Meza kuu wakifuatilia
matukio mbalimbali katika Baraza hilo.
Sehemu ya waumini
wakimsikiliza Waziri Makamba kwenye Baraza hilo
jana.
Sehemu ya waumini
wakimsikiliza Waziri Makamba kwenye Baraza hilo
jana.
Sehemu ya waumini
wakimsikiliza Waziri Makamba kwenye Baraza hilo
jana.
Waziri wa nchi ofisi ya
Makamu wa Rais Mazingira January Makamba (kulia), akiteta jambo na Mkuu
wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigella. (Habari kwa Hisani ya Blog
ya Kijamii ya Tanga Raha)
No comments:
Post a Comment