Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiendesha Kikao cha
Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa kilichofanyika Mkoani Dodoma. Kulia ni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na kushoto ni
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein.
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein wakifurahia jambo kabla ya kuanza
kwa kikao cha cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa kilichofanyika Mkoani
Dodoma.
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli wakati alipowasili mkoani Dodoma kwa ajili ya kikao hicho
cha Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa.
Mwenyekiti
wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakielekea kwenye kikao cha
Kamati Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa kilichofanyika Mkoani Dodoma. (Picha zote na IKULU)
No comments:
Post a Comment