TANGAZO


Sunday, July 5, 2015

Mlipuko wawaua watu 11 Baghdad

Iraq
Mashambulizi ya mabomu yamewaua takriban watu 11 katika wilaya zenye washia wengi kwenye mji mkuu wa Iraq Baghdad.
Magari yaliyokuwa yametegwa mabomu yalilipuka wakati watu walipokuwa wakifungua siku ya mwezi mtukufu wa ramadhan.
Haijabainika yule alitekeleza shambulizi hilo lakini utawala nchini Iraq unawalaumu wanamgambo wa Islamic state kwa mashambulizi yote ya karibu kila siku mjini Baghdad.

No comments:

Post a Comment