TANGAZO


Tuesday, July 29, 2014

Ultimate Security yazindua magari mapya kwa ajili ya kujikita zaidi Kiulinzi

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ulinzi ya Ultimate Security, Jacqui Bothma na Meneja wa Huduma kwa Wateja wa kampuni hiyo Pambwe Maulid wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari mapya 12 na pikipiki 14 zitakazotumika kwaajili ya kutoa huduma mbalimbali katika jamii.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ulinzi ya Ultimate Security, Jacqui Bothma (kushoto), akimsikiliza Meneja wa Huduma kwa Wateja wa kampuni hiyo, Pambwe Maulid, (hawapo pichani), akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi wa magari mapya 12 ya kampuni hiyo na pikipiki 14 zitakazotumika kwaajili ya kutoa huduma mbalimbali katika jamii.
Baadhi ya walinzi wa kampuni ya Ultimate Security ya jijini Dar es Salaam wakiwa kwenye pikipiki mpya zilizonunuliwa na kampuni hiyo kwaajili ya matumatumizi ya huduma za ulinzi katika jamii,wakati wa uzinduzi wa magari mapya 12 ya kampuni hiyo na pikipiki 14.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Ultimate Security ya jijini Dar es Salaam wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi rasmi wa magari mapya na pikipiki  zilizonunuliwa na kampuni hiyo kwaajili ya matumitumizi ya huduma za ulinzi katika jamii.
Msafara wa magari mapya 12 ya kampuni ya Ultimate Security ya jijini Dar es Salaam,yakiongozwa na mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo katika barabara ya Alhassan Mwinyi,tayari  kwaajili ya matumatumizi ya huduma za ulinzi katika jamii. Magari mapya 12 ya Kampuni ya Ultimate Security ya jijini Dar es Salaam, ambayo yatatumika kwa huduma za ulinzi katika jamii.

No comments:

Post a Comment