TANGAZO


Tuesday, July 29, 2014

Rais Kikwete akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nguvu za Atomiki, Amjulia hali Jaji Lewis Makame

D92A2407
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA) Dkt.Yukiya Amano, Ikulu jijini Dar es Salaam leo.
D92A2461
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika la kimataifa la Nguvu za Atomiki(IAEA) Dkt. Yukiya Amano, kulu jijini Dar es Salaam leo.
D92A2478
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA) Dkt. Yukiya Amano akiuangalia mti kubwa wa Mbuyu katika bustani za ikulu jijini Dar es Salaam huku Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiomuonesha tunda la ubuyu.
D92A2486
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimuonesha tunda la ubuyu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nguvu za Atomiki (IAEA), Dkt. Yukiya Amano mara baada ya kufanya naye mazungumzo, kulu jijini Dar es Salaam leo.
D92A2645
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mwenyekiti mstaafu wa tume ya Uchaguzi JAJI Lewis Makame aliyelazwa katika hospitali ya AMI iliyoko Mikocheni jijini Dar es Salaam leo. (Picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment